Monday, July 22, 2013

HATIMAYEEEEEEEEEEEEEE

THE BIG STORY OF THE WORLD  kuhusu mtoto wa kifalme aliyekuwa anasubiriwa kwa hamu dunian imefika mwisho kwani bibie Kate Middleton yupo hospitalin na any time from now atajifungua mtoto huyo ambaye watu wanahamu ya kumjua
      wapo wanaosema mtoto atakuwa na nyota ya CANCER na wengine  LEO. kama DUCHESS huyo wa  CAMBRIDGE  atajifungua leo kabla ya saa 6 usiku mtoto atakuwa CANCER na kama atajifungua kuanzia saa 6 usiku na kuendelea atakuwa LEO.
  hebu ucheki umati wa watu ulivyofunika huko kwake kumngoja mtoto huyo wa kifalme
hapo ni bibie Kate akishuka kwenye gari kuelekea hospita ya ST MARY'S
HUO NI UMATI WA WATU UKIMSUBIRI MTOTO
Watu wakimsubiri mtoto
sijui Kate anajisikiaje anapoona watu wanamngojea mwanae hivyo ni furaha iliyopitiliza
               pole mwaya kwa maumivu

No comments:

Post a Comment