Hivi ni kweli hamna dada wala watoto wa kike kwenu kiasi cha kutowaonea huruma dada na watoto wa wenzenu jamani
pleeeeeaas we need them in our lives sooooooooooooooooooooooo
tunawaomba muwarudishe watoto wetu na dada zetu kama kudeal mdeal na wakubwa wenzenu kama maraisi na wanasiasa wenzenu but those girls hawana kosa lolote
human right mpo kona gani kwa hili?????
je UNICEF mpooooooooooooooooo?
bila kuwasahau wanawake ulimwenguni kwa pamoja
since wameingilia mlango there should be no mercy for them
eee Mungu walinde dada zetu huko walipo
amina.
No comments:
Post a Comment