Sunday, May 5, 2013

mlipuko watokea kanisani leo huko Olasiti Arusha leo

huyo ni mh Joshua S. Nasari mbuge wa Meru akichangia damu kwa ajiri ya majeruhi
huyo ni majeruhi akipatiwa huduma ya kwanza
hapo ni eneo mlipuko ulipotokea na maaskari wakifanya kazi yao
polisi wameanza uchunguzi wao na mtu mmoja ameshikiliwa kwa mahojiano zaidi

        POLENI WOTE MLIPATWA NA MKASA HUO MUNGU AWAPONYE MAPEMA 
                                            --  AMEN --

No comments:

Post a Comment